Mtandao
wa kimataifa unaojihusisha na utengenezaji wa fedha bandia
unaowahusisha baadhi ya wafanyabiashara wa nchi jirani ya Kenya na
Tanzania umebainika kuwepo nchini kufuatia jeshi la polisi kukamata tena
dola za kimarekani na kusababisha fedha bandia zilizokamatwa katika
kipindi cha siku mbili kufikia zaidi ya shilingi milioni 250.Tuesday, September 10, 2013
TANZANIA YAONGOZA KWA UMILIK WA FEDHA BANDIA
Mtandao
wa kimataifa unaojihusisha na utengenezaji wa fedha bandia
unaowahusisha baadhi ya wafanyabiashara wa nchi jirani ya Kenya na
Tanzania umebainika kuwepo nchini kufuatia jeshi la polisi kukamata tena
dola za kimarekani na kusababisha fedha bandia zilizokamatwa katika
kipindi cha siku mbili kufikia zaidi ya shilingi milioni 250.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
(Nape akizungumza na Waandishi leo, Dar es Salaam) Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye amezungumza na waandishi...
-
Daktari feki aliyenaswa katika hosptali ya KCMC aliyetambulika kwa jina la A...
-
UTAPELI wa aina yake, umeibuka mkoani Kilimanjaro ambapo kundi la matapeli hula njama na wanawake kuandaa mitego ya fumanizi na kujipati...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufund...
-
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inatoa nafasi nyingine kwa watu wenye sifa za kujiunga na vyuo vikuu kutuma maombi yao kwa msimu wa...
No comments:
Post a Comment