Sunday, September 22, 2013

SIMBA ALIE SUMBUA NA KUUWA MIFUGO MJINI MOROGORO AUAWA

Simba huyo ambaye amesumbua kwa muda mrefu Mkoani Morogoro maaskari Wanyamapori Mkoani Morogoro wamemwinda na kumuua simba huyo aliyetafuna mbuzi 47 katika Mlima Uluguru eneo la kijiji cha Bagilo kata ya Kinole, Tarafa ya Mkuyuni Mkoani humo.



Askari wanyamapori Wakimchuna ngozi simba

No comments:

Zilizosomwa zaidi