Tuesday, April 2, 2013

ICC KUSIKILIZA MASHITAKA YA UHURU, RUTO KUPITIA VIDEO

From left: ICC Chief Prosecutor Fatou Bensouda, William Ruto and President-elect Uhuru Kenyatta. Photos | AFP and FILE |
Badala ya Raisi wa Kenya Bw. Uhuru Kenyatta na mwenzake Ruto kwenda kusomewa Mashtaka yake katika moja kwa moja kaatika Mahakama ya Makosa ya Jinai (ICC), Kesi yao itasikilizwa kupiti picha za video wakiwa nchini Kenya.

Wakati wa kampeni za uchaguzi nchini Kenya, Uhuru aliiomba ICC kutumia picha za video katika kusikiliza kesi inayomkabili kama atashinda katika uchaguzi mkuu ili aendelee kuwaongoza wanainchi wa Kenya.

No comments:

Zilizosomwa zaidi