Badala ya Raisi wa Kenya Bw. Uhuru Kenyatta na mwenzake Ruto kwenda kusomewa Mashtaka yake katika moja kwa moja kaatika Mahakama ya Makosa ya Jinai (ICC), Kesi yao itasikilizwa kupiti picha za video wakiwa nchini Kenya.
Wakati wa kampeni za uchaguzi nchini Kenya, Uhuru aliiomba ICC kutumia picha za video katika kusikiliza kesi inayomkabili kama atashinda katika uchaguzi mkuu ili aendelee kuwaongoza wanainchi wa Kenya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
Kaimu Mkurugenzi wa SUMATRA Athman Kilima akizungumza na waandishi wa habari leo April 02,2013 katika makao m...
-
Manfred Adam anayekabiliwa na kesi ya kutishia kuua katika hali isiyotarajiwa amelimwaga kojo katika Mahakama ya Mwanzo na kuleta vurugu ...
-
MTUHUMIWA wa mauaji ya watu tisa na unyang'anyi wilayani Tarime mkoani Ma...
No comments:
Post a Comment