Monday, September 17, 2012

Wazazi katika maeneo mbalimbali nchini wameendelea kukemea vitendo vya udanganyifu ambao huwa unajitokeza kwa wanafunzi katika kipindi cha mitihani. Waalimu na wasimamizi watakiwa kuwa makini sana katika kusimamia ili kuepusha swala la wanafunzi kuingia kidato cha kwanza wakati hawajui kusoma na kuandika.

No comments:

Zilizosomwa zaidi