Monday, September 17, 2012
Wazazi katika maeneo mbalimbali nchini wameendelea kukemea vitendo vya udanganyifu ambao huwa unajitokeza kwa wanafunzi katika kipindi cha mitihani. Waalimu na wasimamizi watakiwa kuwa makini sana katika kusimamia ili kuepusha swala la wanafunzi kuingia kidato cha kwanza wakati hawajui kusoma na kuandika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Kaimu Mkurugenzi wa SUMATRA Athman Kilima akizungumza na waandishi wa habari leo April 02,2013 katika makao m...
-
-
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha NEC, leo Agosti 26, 2013 mjini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, ...
-
Manfred Adam anayekabiliwa na kesi ya kutishia kuua katika hali isiyotarajiwa amelimwaga kojo katika Mahakama ya Mwanzo na kuleta vurugu ...
No comments:
Post a Comment