Monday, September 17, 2012
Wakazi wa kijiji cha Kwadelo kilichopo wilayani Kondoa mkoani Dodomg walalamika kwa kukosa huduma ya maji. Richa ya kuwa Mkoa huo una asili ya ukame, serikali imewaacha solemba wakazi wa kijiji hicho kwani hata visima havijachimbwa kijijini hapo. Akiongea mkazi wa kijiji hicho ambaye jina lake halikutajwa amesema, inawalazimu wanawake kutembea umbali mrefu usikt wa manane kutafuta maji jambo ambalo ni hatari kwa maisha yao. Serikali ikishirikiana na wakazi wa Kwadelo imeombwa kulishughulikia tatizo hili mapema kwani wamekuwa wakipata shida hiyo kwa mda mrefu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Kaimu Mkurugenzi wa SUMATRA Athman Kilima akizungumza na waandishi wa habari leo April 02,2013 katika makao m...
-
-
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha NEC, leo Agosti 26, 2013 mjini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, ...
-
Manfred Adam anayekabiliwa na kesi ya kutishia kuua katika hali isiyotarajiwa amelimwaga kojo katika Mahakama ya Mwanzo na kuleta vurugu ...
No comments:
Post a Comment