Monday, September 17, 2012

Timu ya watoto wa jangwani Young Afrika wanaendelea na mazoezi yao kuiva mtibwa katika michuano ya ligi kuu Tanzania. Wakati wa mazoezi yao leo hii, kocha wa timu hiyo amesema Kicha walichokipokea Yanga kutoka kwa Prisons ya huko Mbeya jumamosi iliyopita, ilikuwa ni maandalizi mabaya ya timu hiyo. Yanga imeahidi kuonesha tofauti katika michezo ijayo.

No comments:

Zilizosomwa zaidi