Monday, September 17, 2012
Timu ya watoto wa jangwani Young Afrika wanaendelea na mazoezi yao kuiva mtibwa katika michuano ya ligi kuu Tanzania. Wakati wa mazoezi yao leo hii, kocha wa timu hiyo amesema Kicha walichokipokea Yanga kutoka kwa Prisons ya huko Mbeya jumamosi iliyopita, ilikuwa ni maandalizi mabaya ya timu hiyo. Yanga imeahidi kuonesha tofauti katika michezo ijayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Kaimu Mkurugenzi wa SUMATRA Athman Kilima akizungumza na waandishi wa habari leo April 02,2013 katika makao m...
-
-
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha NEC, leo Agosti 26, 2013 mjini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, ...
-
Manfred Adam anayekabiliwa na kesi ya kutishia kuua katika hali isiyotarajiwa amelimwaga kojo katika Mahakama ya Mwanzo na kuleta vurugu ...
No comments:
Post a Comment