Friday, September 21, 2012

Ukiona hali kama hii ujue basi hata elimu ya msingi ina changamoto za kutosha. Hii ni baada ya kutembelea shule moja ya msingi iliyopo katika moja ya kijiji kilichopo katika wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma.

No comments:

Zilizosomwa zaidi