Friday, September 21, 2012

Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya (kushoto) akimkabidhi Mwenge wa uhuru Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Rajabu Rutengwe kwenye hafla ya makabidhiano iliyofanyika Stalike wilayani Mpanda, jana , baada ya mwenge huo kumaliza kukimbizwa mkoani Rukwa.

No comments:

Zilizosomwa zaidi