Thursday, September 20, 2012
Shule ya sekondari Maranda iliyopo nchini Kenya imefungwa Kwa mda baada ya mabweni mawili kuungua. Tatizo lilosababisha kuungua kwa mabweni hayo bado halijafahamika, wakati huohuo shule ya sekondari ya wasichana iliyopo jirani na Maranda sec. imefungwa kwa tahadhari ya kutokea kwa ajari nyingine kama hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
-
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo anadaiwa kutumia ujanja katika wasifu na elimu yake ambapo katika maisha yake...
-
Siku kama ya leo tar 7-7 ndipo mfanyakazi wa blog yetu Ms. Loveness Kwezi alipozaliwa. Kwa niaba ya Mkurugenzi wa blog hii Mr. Fara...
-
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda aliangua kilio baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Uandishi wa ...
No comments:
Post a Comment