Thursday, September 20, 2012
Shule ya sekondari Maranda iliyopo nchini Kenya imefungwa Kwa mda baada ya mabweni mawili kuungua. Tatizo lilosababisha kuungua kwa mabweni hayo bado halijafahamika, wakati huohuo shule ya sekondari ya wasichana iliyopo jirani na Maranda sec. imefungwa kwa tahadhari ya kutokea kwa ajari nyingine kama hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Kaimu Mkurugenzi wa SUMATRA Athman Kilima akizungumza na waandishi wa habari leo April 02,2013 katika makao m...
-
-
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha NEC, leo Agosti 26, 2013 mjini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, ...
-
Manfred Adam anayekabiliwa na kesi ya kutishia kuua katika hali isiyotarajiwa amelimwaga kojo katika Mahakama ya Mwanzo na kuleta vurugu ...
No comments:
Post a Comment