Thursday, September 20, 2012

Shule ya sekondari Maranda iliyopo nchini Kenya imefungwa Kwa mda baada ya mabweni mawili kuungua. Tatizo lilosababisha kuungua kwa mabweni hayo bado halijafahamika, wakati huohuo shule ya sekondari ya wasichana iliyopo jirani na Maranda sec. imefungwa kwa tahadhari ya kutokea kwa ajari nyingine kama hiyo.

No comments:

Zilizosomwa zaidi