Monday, August 27, 2012
Nape aigomea Chadema. Baada ya mbunge wa Ubungo, John Mnyika kutoa siku saba kabla ya kwenda mahakamani,kuitaka CCM kuilipa Chadema fidia ya Sh. Bilion 3 kutokana na tuhuma zilizotolewa kuwa Chadema hicho kinapokea mabilioni kutoka nje, Katibu mwenezi wa CCM, Nape Nnauye amewaeleza waandishi wa habari kuwa chama hakotayari kulipa fidia yoyote, "kama ni kwenda mahakamani waende hata kesho wasisubiri siku saba kwani watapoteza mda" pia amemtaka katibu wa Chadema, Wilbrod Slaa kutoa uthibitisho kwa madai aliyoyatoa kuwa CCM inaingiza siraha nchini. Kwa upande wa kulipwa fidia, Nape ameitaka Chadema kuilipa CCM Sh. Bilion 3.1
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
TCRA yawatoa hofu wenye TV zenye matumbo:MAMLAKA ya Mawasiliano (TCRA) imewataka Watanzania waepuke uvumi wa watu wachache wanaodai kuwa ...
-
-
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Mhe OmaDr Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha ...
No comments:
Post a Comment