Monday, August 27, 2012
Diamond Plutnum kufanya kolabo na J Martin. Hii ni baada ya kufanya shoo kali katika mashindano ya Big Brother Africa na hivyo kuanza kualikwa sehemu mbalimbali kutoa burudani. Hivi sasa Diamond amesema tayari ameshaingiza voko za wimbo huo kwa producer Marco Chali na sasa amesubiri kuingiza voko za J Martin ambaye hivi sasa yupo nchini Marekani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
TCRA yawatoa hofu wenye TV zenye matumbo:MAMLAKA ya Mawasiliano (TCRA) imewataka Watanzania waepuke uvumi wa watu wachache wanaodai kuwa ...
-
-
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Mhe OmaDr Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha ...
No comments:
Post a Comment