Monday, August 27, 2012
Diamond Plutnum kufanya kolabo na J Martin. Hii ni baada ya kufanya shoo kali katika mashindano ya Big Brother Africa na hivyo kuanza kualikwa sehemu mbalimbali kutoa burudani. Hivi sasa Diamond amesema tayari ameshaingiza voko za wimbo huo kwa producer Marco Chali na sasa amesubiri kuingiza voko za J Martin ambaye hivi sasa yupo nchini Marekani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Yanga imemponza mwamuzi, Martin Saanya wa Morogoro aliyechezesha mechi yao na Coastal Union ambaye amefungiwa mwaka mmoja kwa kuchezesha ...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Mjumbe wa kamati kuu chadema na mbunge wa Arusha mjini akion...
-
Watu watano wamekufa papo hapo na wengine sita wamejeruhiwa, watatu wakiwa katika hali mbaya baada ya basi la Super Champion kugong...
-
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
No comments:
Post a Comment