DAKTARI FEKI AKAMATWA HOSPITALI YA MKOA WA MOROGORO.
Huyo jamaa anatambuliwa kwa jina la
Karume kauzu Habibu, anasadikika kuwa daktari feki aliyekamatwa katika hospitali
ya mkoa wa Morogoro akitibu wagonjwa, amekuwa akivaa koti leupe mithiri
ya Daktari. kwa sasa anashikiliwa na polisi. Amekutwa
na vitambulisho vitatu tofauti, kimoja kinaonyesha anarudia mtihani
katika kituo kimoja mjini Morogoro, ni mkazi wa Kigoma, kwa sasa alikuwa
akiishi Liti manispaa ya Morogoro. Polisi wanafanya uchunguzi zaidi kuhusiana na tukio hilo.
No comments:
Post a Comment