Comments 206 tu nilizozisoma kati ya 3422 kutoka kwa fans wa EA TV kuhusiana na post yao ya leo Tar 22 April kuhusiana na swala la Mwanaume kuvaa hereni kama ni fashion, swaga au ushamba, Asilimia 85 mawazo yao ni kuwa Mwanaume anayevaa hereni ana dalili kubwa ya kuwa SHOGA, na asilimi 15 mtazamo wao ni ushamba uliochupa mipaka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
. . . . . . . . . . . . . . . . . . .. .
-
Ofisi ya Rais wa Rwanda imekanusha vikali uvumi ulioenea nchini humo na nchi ...
-
Kesi ya mauaji ya marehemu Steven Kanumba inayomkabili mwigizaji wa bongo movie, Elizabeth Michael (Lulu) imeendelea kutajwa...
-
Msanii maarufu wa Hip...
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi Dk. Tzeba amethibitisha kuwa Serikali ya Rwanda imeruhusu malori ya Tanzania yaendelee na safari kwa ku...
No comments:
Post a Comment