Sunday, September 1, 2013

TCU YATOA NAFASI NYINGINE YA MAOMBI YA CHUO KIKUU

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inatoa nafasi nyingine kwa watu wenye sifa za kujiunga na vyuo vikuu  kutuma maombi  yao kwa msimu wa masomo wa 2013/2014. 
Mwisho wa kutuma maombi hayo ni tarehe 07.09.2013.
Kwa maelezo zaidi ingia 
www.tcu.com

No comments:

Zilizosomwa zaidi