Friday, April 18, 2014

KINANA AFANYA ZIARA MKOA WA KATAVI

1._Kinana_akipanda_ngazi_kukagua_tanki_la_maji_ee862.jpg
Kinana akipanda ngazi kwenda juu ya tanki wakati akikagua ujenzi wa mradi wa chanzo cha maji cha Ikongoro, mjini Mpanda leo
4._Kinana_kwenye_mtaro_wa_kutandaza_mabomba_ya_maji_be23a.jpg
Kinana akikagua mtaro wa kutandaza mabomba ya maji kutoka kwenye tanki hilo
11._Nape_akiwa_na_mtoto_nyumbani_kwa_mjumbe_wa_shina_75afb.jpg
Nape akiwa na mtoto kwenye shina hilo

No comments: