Mjumbe wa
kamati kuu chadema na mbunge wa Arusha mjini akiongea kwa masikitiko
makubwa jana katika mkutano wa hadhara jimbo la Kalenga katika kata ya
Maboga kijiji cha Kiponzelo akiona mtoto ambaye anaumri kama wa mwanae
akiwa katika hali hiyo huku ikiwa mbunge aliekuwepo alikua waziri wa
fedha, mtoto huyo hajui kitu kina itwa shule au darasa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Mwaka huu shindano la kusaka vipaji vya kuimba maarufu kama Epiq Bongo Star Search litakuwa likioneshwa kupitia TBC1. Kupitia F...
-
-
-
Newcastle United 2 - 0 Chelsea Fulham 1 - 3 Manchester United Hull City 1 - 0 Sunderland Manchester City 7 - 0 Norwich City Stoke Cit...
-
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linashikilia askari Polisi watano kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa Sh milion...
No comments:
Post a Comment