Tuesday, January 15, 2013

ALIYEOA MWANAAFUNZI KUKAMATWA

Mwanaume aliyeoa mwanafunzi kukamatwa: WAZAZI wa mtoto aliyeozwa na mwanaume aliyemuoa mtoto katika Kata ya Mvuha wilaya ya Morogoro na kusababisha ashindwe kuanza masomo ya sekondari, watakamatwa na kufikishwa mahakamani

No comments:

Zilizosomwa zaidi