Friday, November 2, 2012

TUME YA KUKUSANYA MAONI IMETUA BUNGENI

Kesho Jumamosi, Novemba 3, 2012, kuanzia saa 3:00 asubuhi, Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania itafanya mkutano katika Ukumbi wa Pius Msekwa, Dodoma ili kukusanya maoni ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Katiba Mpya. Mkutano utaongozwa na Mwenyekiti wa Tume, Jaji Jospeh Warioba.

No comments: