Yanga waendelea kupeta hadi kuongoza ligi kuu Tanzania bara baada ya kuichapa Azam magoli mawili nunge huku timu ya Simba nayo ikiendelea kufanya vibaya katika michuano hiyo baada ya kukubali kichapo cha magoli mawili kutoka kwa Mtibwa Sukari ya mjini Morogoro.
Mpaka sasa Simba wako nafasi ya pili wakifutiwa na Azam katika nafasi ya tatu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
FT Real Zaragoza 0 - 1 Deportivo La Coruña FT Hercules 0 - 0 Numancia FT Sporting Gijon 3 - 1 Girona FT Tenerife 5 - 0 Ponferradina ...
-
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetoa tamko kuwa ugonjwa wa homa ya dengue umefikia hatua mbaya. ...
-
Dar es Salaam.Wakati nauli mpya zikianza kutumika leo huku Serikali ikizibariki, Mamlaka ya Udhibiti wa Usaf...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
Kesi ya mauaji ya marehemu Steven Kanumba inayomkabili mwigizaji wa bongo movie, Elizabeth Michael (Lulu) imeendelea kutajwa...
No comments:
Post a Comment