Sunday, November 4, 2012

MAMBO YA LIGI KUU TANZANIA BARA.

Yanga waendelea kupeta hadi kuongoza ligi kuu Tanzania bara baada ya kuichapa Azam magoli mawili nunge huku timu ya Simba nayo ikiendelea kufanya vibaya katika michuano hiyo baada ya kukubali kichapo cha magoli mawili kutoka kwa Mtibwa Sukari ya mjini Morogoro.
Mpaka sasa Simba wako nafasi ya pili wakifutiwa na Azam katika nafasi ya tatu.





No comments:

Zilizosomwa zaidi