Monday, October 29, 2012

WAZIRI MEMBE AENDELEA NA UCHUNGUZI

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe yuko mkoani Mbeya kwa ziara ya siku mbili ikiwa ni mwendelezo wa kutembelea mikoa na vitongoji vilivyopo katika fukwe za Ziwa Nyasa.

No comments:

Zilizosomwa zaidi