Friday, October 26, 2012

HAYA NDIO YAMEMKUTA KIONGOZI WA UAMSHO.

Viongozi wanane wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), akiwemo Sheikh Farid Hadi Ahmed jana walifikishwa mahakamani kwa mara ya pili, huku wakiwa wamenyolewa ndevu zao.

No comments: