![]() Shabiki wa Yanga akitoa dukuduku lake |
Ushabiki wa soka Tanzania umezidi kukua katika miaka ya karibuni lakini katika washabiki wote wa soka la Bongo hakuna shabiki mwenye ushabiki uliopitiliza kama jamaa huyu mshabiki wa Yanga ambaye hakuridhika na matokeo na alimwaga chozi baada ya Yanga kutoka sare ya 1-1 na Simba. |
|
Shabiki
huyo wa Yanga aliangua machozi akishusha lawama nzito kwa refa wa mechi
ya Simba na Yanga pamoja na washika vibendera wake akisema kuwa
wameinyima Yanga ushindi. Angalia VIDEO ya shabiki huyo wa Yanga akishusha lawama zake kwa uchungu mkubwa sana uliomfanya ashindwe kuzuia machozi kutiririka kwenye macho yake. |
||
|
Wednesday, October 10, 2012
Huyu ndio Jamaa Anayeipenda Yanga Kuliko Kitu Chochote
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Kwa wasiomfahamu, Davido ndio kama Diamond Platnums wa Nigeria kwa sasa, ni mshkaji mdogo ambae ametoka kwenye familia iliyoshika din...
-
Jeraha katika mguu wa mwandishi wa habari Shomi Mtaki lililotokana na risasi baada ya kuvamiwa na majambazi Shomi Mtaki akione...
-
Mganga wa kienyeji mkazi wa Kijiji cha Nyansincha, wilayani Tarime mkoani Mara, Mwita Nyamankore, anasakwa na Polisi kwa madai ya kum...
-
1.AUSTIN MORRIS A-40 AUSTIN MORRIS A-40 Gari aina ya Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 ...
-
Valladolid 1 - 1 Valencia Athletic Bilbao 2 - 1 Sevilla FC Mallorca 2 - 4 Barcelona Atlético Madrid 2 - 0 Getafe Levante 1 - 2 Real Mad...
No comments:
Post a Comment