Saturday, September 15, 2012

Tembo akimbilia mjini Morogoro na kujeruhi watu watatu. Miongoni mwa watu waliojeruhiwa na tembo huyo ni Mohammed Nyabange ambaye ni mwandishi wa habari katika kituo cha redio cha Abood fm kilichopo mkoani humo. Hali za mjeruhi hao zinaendelea vizuri.

No comments:

Zilizosomwa zaidi