Saturday, September 15, 2012

Kanisa la Sabado mkoani Mara limetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wanafunzi 100 waliounguliwa na shule. Baada ya shule ya sekondari Ikizu iliyopo mkoani humo kuungua, wanafunzi walipoteza vitu vyao. Hivyo Kanisa la Sabato limeamua kuwasaidia vijana hao.

No comments:

Zilizosomwa zaidi