Saturday, September 15, 2012
Maoni ya wadau mbalimbali walipokutana na Tume ya kukusanya maoni kuhusu katiba mpya haya hapa. Kuweka kipengere cha kupiga marufuku taraka katika ndoa, Kuruhusu matumizi ya bangi kama sigara nyingine, Kuwaendeleza vijana waliomaliza elimu ya msingi na kushindwa kuendelea, Kila raia mwenye umri kuanzia miaka 18 na kuendelea kulipwa kiwango flani cha mshahara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
...
-
Kundi la kigaidi la Al-Shabaab limetibitisha kuwa kiongozi wao Ahmed Abdi Godane aliuawa siku ya Jumatatu katika shambu...
-
Dodoma Weather : Partly conditions and sunny periods. Min. Temp. : 20°C Max. Temp. : ...
No comments:
Post a Comment