Saturday, September 15, 2012
Maoni ya wadau mbalimbali walipokutana na Tume ya kukusanya maoni kuhusu katiba mpya haya hapa. Kuweka kipengere cha kupiga marufuku taraka katika ndoa, Kuruhusu matumizi ya bangi kama sigara nyingine, Kuwaendeleza vijana waliomaliza elimu ya msingi na kushindwa kuendelea, Kila raia mwenye umri kuanzia miaka 18 na kuendelea kulipwa kiwango flani cha mshahara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Msanii maarufu wa Hip...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
1.AUSTIN MORRIS A-40 AUSTIN MORRIS A-40 Gari aina ya Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 ...
-
-
MWENENDO wa Bunge la Bajeti linaloendelea mjini hapa, umebaini kuwa vita ya maneno, fitna kati ya Cha...
No comments:
Post a Comment