Thursday, September 20, 2012
Mwanafunzi ajifungua wakati akifanya mtihani wa Hisabati. Huko mkoani kagera hapo jana, mwanafunzi amejifungua mtoto wa kiume alipokuwa akifanya mtihani wa Hisabati ambao ndio ulikuwa wa mwisho katika safari ya elimu ya shule ya msingi. Wazazi na walimu wamesema walikuwa hawajui kama mwanafunzi huyo alikuwa ana ujauzito.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
Newcastle United 2 - 0 Chelsea Fulham 1 - 3 Manchester United Hull City 1 - 0 Sunderland Manchester City 7 - 0 Norwich City Stoke Cit...
-
-
1 Tukio la tetemeko: Tarehe 10/09/2016 saa 9 na dakika 27 mchana kumetokea tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Kitovu cha teteme...
No comments:
Post a Comment