Thursday, September 20, 2012
Mwanafunzi ajifungua wakati akifanya mtihani wa Hisabati. Huko mkoani kagera hapo jana, mwanafunzi amejifungua mtoto wa kiume alipokuwa akifanya mtihani wa Hisabati ambao ndio ulikuwa wa mwisho katika safari ya elimu ya shule ya msingi. Wazazi na walimu wamesema walikuwa hawajui kama mwanafunzi huyo alikuwa ana ujauzito.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
1.AUSTIN MORRIS A-40 AUSTIN MORRIS A-40 Gari aina ya Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 ...
-
JESHI LA wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa ufafanuzi kwa kusema kuwa askari wake aliyetoroka jeshini Luteni Kanali Celestine C. Seromba...
-
-
Baada ya vyombo vya usalama nchini Kenya kufanikiwa kuwaondoa wanamgambo wa Al shabaab ambao walivamia na kuliteka eneo la West Gate na ...
No comments:
Post a Comment