Saturday, September 15, 2012

Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara kuanza ligi kwa mbwembwe. Ni baada kuicharaza African Lyon kichapo cha goli 3 kwa nunge bila hata kujitetea jijini Dar, wakati huko Mbeya watoto wa jangwani wakubali kuwa wapole dhidi ya timu ya Prisons katika mchezo uliochezwa huko Mbeya.

No comments:

Zilizosomwa zaidi