Saturday, September 15, 2012

Wanachama wa Freemason kujulikana. Tanzania ina wanachama hai wa kikundi hicho cha Freemason zaidi ya 600. Katika wanachama hao nchini ni wale watu maarufu sana, lakini katika wanachama hao viongozi wa nyadhifa za juu Serikalini hawamo.

No comments: