Hali sio shwari katika barabara ya Lumumba na Kenyata jijini mwanza baada ya magari kushindwa kutembea ipasavyo baada ya mrundikano wa magari kwenye barabara ambazo zipo katikati ya jiji.
Chanzo cha mlundikano wa magari na hivuo kukwamisha safari ni kuwepo kwa barabara ambazo sio pana jijini hapa.
Wakati huohuo hakuna barabara za mchepuko ambazo zinaweza kusaidia kupunguza foleni na mlindikano wa magari richa ya jiji la Mwanza kuwa na magari machache.
Friday, July 25, 2014
UFINYU WA BARABARA WASABABISHA FOLENI KUBWA MWANZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
picha na Riziki Mashaka.
-
-
Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara ...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
No comments:
Post a Comment