Friday, September 20, 2013

HAKIMU ACHOMWA KISU MAHAKAMANI HUKO SHINYANGA

Hakimu wa mahakama ya mwanzo mkoani Shinyanga achomwa kisu na mlalamikaji baadaya ya kutoa hukumu kwa mtuhumiwa,hakimu huyo alitoa hukumu kwa mtuhumiwa wa wizi wa baiskeli yenye thamani ya 150000 aina ya neria,hukumu hiyo alitoa ikiwa mtuhumiwa hayupo mahakamani mala tu baada ya kutoa hukumu hiyo mlalamikaji aliwashukuru mahakama kwa uamuzi huo kisha akatoka nje baadaye akaingia ofisini kwa hakimu kwa kigezo cha kwamba alisahau kumpatia risti alyonunulia baiskeli baada ya muda kidogo alipoingia alianza kumshambilia hakimu kwa kumchoma kisu sehemu mbalimbali za, mwili wake na baadaya akakamatwa na jeshi la polisi na kisha hakimu kukimbizwa hospitari ya mkoa wa Shinyanga.Hakimu wa mahakama ya mwanzo mkoani Shinyanga achomwa kisu na mlalamikaji baadaya ya kutoa hukumu kwa mtuhumiwa.
Tukio hilo limetokea hapo jana ambapo hakimu huyo alitoa hukumu kwa mtuhumiwa wa wizi wa baiskeli yenye thamani ya 150000 aina ya neria, hukumu hiyo alitoa ikiwa mtuhumiwa hayupo mahakamani mala tu baada ya kutoa hukumu hiyo mlalamikaji aliwashukuru mahakama kwa uamuzi huo kisha akatoka nje baadaye akaingia ofisini kwa hakimu kwa kigezo cha kwamba alisahau kumpatia risti alIyonunulia baiskeli baada ya muda kidogo alipoingia alianza kumshambilia hakimu kwa kumchoma kisu sehemu mbalimbali za, mwili wake na baadaya akakamatwa na jeshi la polisi na kisha hakimu kukimbizwa hospitari ya mkoa wa Shinyanga

No comments:

Zilizosomwa zaidi