Wednesday, May 22, 2013

YANAYOJILI HUKO MTWARA MCHANA HUU.

Huduma mbalimbali za kijamii Mjini Mtwara zimesimama tangu asubuhi kutokana na vipeperushi vilivyokuwa vimesambazwa mjini humo vya kutaka wanachi kutofanya shughuli yoyote ili kupata fursa ya kusikiliza hotuba ya makadirio ya bajeti ya wizara ya nishati na Madini ili kufahamu ni kwa jinsi gani Mtwara itanufaika na uchimbaji wa gesi.

No comments:

Zilizosomwa zaidi