ya kuwa wanawake wamepewa fursa za wazi kabisa kisheria katika
kumiliki ardhi, bado umiliki wa ardhi ni mdogo sana nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo wakati wa semina ya Chama Cha Wanawake
nchini (TAWLA) juu ya umiliki wa ardhi kwa wanawake na uwekezaji
iliyofanyika jijini Dar es salaam.
Naibu waziri huyo amesema kutokana na muamko mdogo wa wanawake
kumiliki ardhi kwa kiasi cha juu, ndio kunawafanya washindwe kutumia
fursa za kisheria za kumiliki ardhi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wil...
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...
-
Wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi Dar es Salaam, wameendelea kukamatwa na kurejeshwa kwao, ambapo pia imebainika wengi walikuwa wauza k...
No comments:
Post a Comment