Monday, March 25, 2013

MADARAJA MAPYA YA KUFAULU KIDATO CHA NNE HAYA HAPA.


Serikali kwa kupitia Wizara ya Elimu
 imefanya mabadiliko kwenye Madaraja ya 
alama za mitihani ya kidato cha nne.


Hapo awali  Madaraja yalikuwa hivi;
A = 81% - 100% 

B = 61% - 80% 

C = 41% - 60% 

D = 21% - 40% 

F = 0% - 20% 
Mabadiliko mapya yamefanywa na sasa 
Madaraja MAPYA ni kama ifuatavyo:
A = 80% - 100% 

B = 65% - 79% 

C = 50% - 64% 

D = 35% - 49% 

F = 0% - 34% 
Taarifa imetolewa mapema ili wanafunzi kwa
 kidato cha nne waanze kujiandaa vyema na 
mitihani ijayo.

No comments:

Zilizosomwa zaidi