Saturday, January 19, 2013

TUME YA MABADILIKO YA KATIBA LEO.

Photo: Januari 19, 2013: Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh (kushoto) akiongea na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika ukumbi wa mikutano wa Tume hiyo jijini Dar es Salaam leo. Bw. Utouh alikutana na Wajumbe wa Tume hiyo kutoa maoni ya taasisi yake kuhusu Katiba Mpya. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh (kushoto) akiongea na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika ukumbi wa mikutano wa Tume hiyo jijini Dar es Salaam leo. Bw. Utouh alikutana na Wajumbe wa Tume hiyo kutoa maoni ya taasisi yake kuhusu Katiba Mpya.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Photo: Januari 19, 2013: Waziri Mstaafu na Mwanasiaisa Mkongwe nchini, Mzee George Kahama (kushoto) akizungumza katika mkutano na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo katika ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam leo na kutoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya. Kulia ni Mwenyekiti wa Tume, Jaji Joseph Warioba. 

 Waziri Mstaafu na Mwanasiaisa Mkongwe nchini, 
Mzee George Kahama (kushoto) akizungumza katika mkutano na 
wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo katika ofisi za Tume 
Jijini Dar es Salaam leo na kutoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya. Kulia ni
 Mwenyekiti wa Tume, Jaji Joseph Warioba.
 
 

No comments:

Zilizosomwa zaidi