Wednesday, December 12, 2012

HIKI NDIO KICHANGA KILICHOTUPWA JIJINI DAR


Kichanga hicho cha jinsi ya kike, kinakadiriwa kuwa na umri wa
siku mbili, kimekutwa katika machimbo ya mchanga maeneo ya
Majohe, Gongo la Mboto.
Polisi wanaendelea na juhudi za kumtafuta muhusika

No comments:

Zilizosomwa zaidi