Monday, September 17, 2012

Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza yatisha kwa ongezeko la watu. Hayo yamebainika hapo jana wakati waziri mkuu Mizengo Pinda alipofanya ziara wilayani humo. Pinda amesema idadi ya watu wilayani humo ni kubwa ukilinganisha na ukubwa wa ardhi iliyopo.

No comments:

Zilizosomwa zaidi