Monday, September 17, 2012
Wakati tukiendelea na wiki ya nenda kwa usalama barabarani, wananchi watakiwa kuwa makini pindi watumiapo barabara ili kupunguza ajari na vifo vitokanavyo na ajari za barabarani. Kwa mkoa wa Dar es salaam ajari za pikipiki zimeripotiwa kuwa nyingi katika kipindi cha August. Wakati huohuo waendesha pikipiki wilayani kasulu mkoani Kigoma wanaendelea kunufaika na wiki hii ya nenda kwa usalama kwani chuo cha mafunzo ya ufundi FDC wilayani humo, kimeanda kozi fupi ya wiki moja ya kujifunza namna kuendesha pikipiki na kupewa cheti maalum kitakachowasaidia wahitimu hao kupata Leseni ya udereva kwa urahisi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
-
VIBANDA VILIVYOJENGWA BILA KUFUATA UTARATIBU KWENYE STENDI MPYA YA DALADALA MKOANI DODOMA KUBOMOLEWAMmoja wa wafanyakazi katika ofisi ya Mhandisi wa manispaa ya Dodoma akitoa amri ya kuondoa moja ya vibanda vilivyojengwa kiholela kat...
-
picha na Riziki Mashaka.
-
No comments:
Post a Comment