Thursday, September 20, 2012
Mwanafunzi ajifungua wakati akifanya mtihani wa Hisabati. Huko mkoani kagera hapo jana, mwanafunzi amejifungua mtoto wa kiume alipokuwa akifanya mtihani wa Hisabati ambao ndio ulikuwa wa mwisho katika safari ya elimu ya shule ya msingi. Wazazi na walimu wamesema walikuwa hawajui kama mwanafunzi huyo alikuwa ana ujauzito.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Picha za Rick Ross alivyoingia Dar (milard ayo) Huyu Rick Ross wa bongo alinichekesha sana manake alijitokeza kusikojulikana wakati wat...
-
Baadhi ya vipodozi vilivyokamatwa Mifuniko ya tenki la mafuta ...
-
Familia zilizoathiriwa kwa mujib...
No comments:
Post a Comment