Wednesday, September 12, 2012
Hatimae chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA chakili kufadhiliwa kutoka nje ili kujijenga kiuwezo. Haya yamethibitishwa na katibu wa cha hicho dk Willbrod Slaa alipokuwa kwenye simina hapo jana iliyohusisha viongozi mbalimbali wa chama hicho na wengine kutoka katika chama cha kikiristu CDU cha nchini Ujerumani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
VIBANDA VILIVYOJENGWA BILA KUFUATA UTARATIBU KWENYE STENDI MPYA YA DALADALA MKOANI DODOMA KUBOMOLEWAMmoja wa wafanyakazi katika ofisi ya Mhandisi wa manispaa ya Dodoma akitoa amri ya kuondoa moja ya vibanda vilivyojengwa kiholela kat...
-
picha na Riziki Mashaka.
-
Majuto anasema kuwa ana watoto tisa ingawa hakuwa tayari kuwazungumzia mama wa watoto hao zaidi ya kumwongelea mkewe wa sasa, A...
No comments:
Post a Comment