Wednesday, September 12, 2012
Aliyoyaandika mchungaji Munishi katika facebook kuhusiana na mauaji ya mwandishi wa habari. SERIKALI YA TANZANIA NDIYO INAYOWAPA KIBURI ASKARI, WANANCHI WASIYALAUMU MATAWI BADALA YAKE WAULAMU MTI WENYE MATAWI. Tangu enzi za Nyerere, waandishi walitumiwa na serikali kuwanyanya wananchi wasiokuwa na hatia. Sasa joka limewageukia na kuanza kuyakata matawi, waandishi hawana budi kuukata mti wenye matawi hayo uliopo Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
VIBANDA VILIVYOJENGWA BILA KUFUATA UTARATIBU KWENYE STENDI MPYA YA DALADALA MKOANI DODOMA KUBOMOLEWAMmoja wa wafanyakazi katika ofisi ya Mhandisi wa manispaa ya Dodoma akitoa amri ya kuondoa moja ya vibanda vilivyojengwa kiholela kat...
-
Majuto anasema kuwa ana watoto tisa ingawa hakuwa tayari kuwazungumzia mama wa watoto hao zaidi ya kumwongelea mkewe wa sasa, A...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Basi hili la Kampuni ya Abood lililokuwa lilisafiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Tunduma mkoani Mbeya, lilimepata ajali kat...
No comments:
Post a Comment