Wednesday, September 12, 2012
Aliyoyaandika mchungaji Munishi katika facebook kuhusiana na mauaji ya mwandishi wa habari. SERIKALI YA TANZANIA NDIYO INAYOWAPA KIBURI ASKARI, WANANCHI WASIYALAUMU MATAWI BADALA YAKE WAULAMU MTI WENYE MATAWI. Tangu enzi za Nyerere, waandishi walitumiwa na serikali kuwanyanya wananchi wasiokuwa na hatia. Sasa joka limewageukia na kuanza kuyakata matawi, waandishi hawana budi kuukata mti wenye matawi hayo uliopo Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha waombolezaji wakati wa mazishi ya Askofu Moses Kulola leo. Mtoto wa Marehemu Asko...
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Mhe OmaDr Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha ...
-
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
No comments:
Post a Comment