Wednesday, September 26, 2012
Baada ya wizara ya usafirishaji kupiga marufuku uchimbaji dawa barabarani, sasa vyo vilivyojengwa katika vituo mbalimbali vyatia aibu kwa uchafu. Miongoni mwa vyoo vinavyoongoza kwa uchafu ni vile vilivyojengwa katika mzani wa msata huko pwani. Hii imeelezwa na baadhi ya wasafiri waliopita katika kituo hicho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
picha na Riziki Mashaka.
-
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
No comments:
Post a Comment