Wednesday, September 26, 2012
Baada ya wizara ya usafirishaji kupiga marufuku uchimbaji dawa barabarani, sasa vyo vilivyojengwa katika vituo mbalimbali vyatia aibu kwa uchafu. Miongoni mwa vyoo vinavyoongoza kwa uchafu ni vile vilivyojengwa katika mzani wa msata huko pwani. Hii imeelezwa na baadhi ya wasafiri waliopita katika kituo hicho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Kajala Masanja. Pamoja na kutoa faini ya Sh. milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake wa filamu, Wema Isaac Sepetu, Kajala anat...
-
Ashindwa kutetea kiti Mara
-
Waethiopia waendelea na mbio ndefu
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
Chelsea 0 - 0 Fulham Everton 1 - 1 Arsenal Southampton 1 - 1 Norwich City Stoke City 2 - 1 Newcastle United Swansea City 3 - 1 West Bro...
No comments:
Post a Comment