Hali sio shwari katika barabara ya Lumumba na Kenyata jijini mwanza baada ya magari kushindwa kutembea ipasavyo baada ya mrundikano wa magari kwenye barabara ambazo zipo katikati ya jiji.
Chanzo cha mlundikano wa magari na hivuo kukwamisha safari ni kuwepo kwa barabara ambazo sio pana jijini hapa.
Wakati huohuo hakuna barabara za mchepuko ambazo zinaweza kusaidia kupunguza foleni na mlindikano wa magari richa ya jiji la Mwanza kuwa na magari machache.
Friday, July 25, 2014
UFINYU WA BARABARA WASABABISHA FOLENI KUBWA MWANZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
...
-
Kundi la kigaidi la Al-Shabaab limetibitisha kuwa kiongozi wao Ahmed Abdi Godane aliuawa siku ya Jumatatu katika shambu...
-
Dodoma Weather : Partly conditions and sunny periods. Min. Temp. : 20°C Max. Temp. : ...
No comments:
Post a Comment