Hali sio shwari katika barabara ya Lumumba na Kenyata jijini mwanza baada ya magari kushindwa kutembea ipasavyo baada ya mrundikano wa magari kwenye barabara ambazo zipo katikati ya jiji.
Chanzo cha mlundikano wa magari na hivuo kukwamisha safari ni kuwepo kwa barabara ambazo sio pana jijini hapa.
Wakati huohuo hakuna barabara za mchepuko ambazo zinaweza kusaidia kupunguza foleni na mlindikano wa magari richa ya jiji la Mwanza kuwa na magari machache.
Friday, July 25, 2014
UFINYU WA BARABARA WASABABISHA FOLENI KUBWA MWANZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
MTU aliyepiga picha na Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema akiwa amevalia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (J...
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
Azam FC yatwaa kwa mara ya pili Kombe la Mapinduzi Azam FC imeweza kutetea kombe hilo na k u libakisha nchini katika mchezo ulitu...
No comments:
Post a Comment