Hali sio shwari katika barabara ya Lumumba na Kenyata jijini mwanza baada ya magari kushindwa kutembea ipasavyo baada ya mrundikano wa magari kwenye barabara ambazo zipo katikati ya jiji.
Chanzo cha mlundikano wa magari na hivuo kukwamisha safari ni kuwepo kwa barabara ambazo sio pana jijini hapa.
Wakati huohuo hakuna barabara za mchepuko ambazo zinaweza kusaidia kupunguza foleni na mlindikano wa magari richa ya jiji la Mwanza kuwa na magari machache.
Friday, July 25, 2014
UFINYU WA BARABARA WASABABISHA FOLENI KUBWA MWANZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...
-
Wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi Dar es Salaam, wameendelea kukamatwa na kurejeshwa kwao, ambapo pia imebainika wengi walikuwa wauza k...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
WAKATI nchi ya Malawi ikiendelea kushikilia msimamo wake, kuwa mpaka Mashariki mwa Ziwa Nyasa kati yake na Tanzania unatenganishwa na a...
No comments:
Post a Comment