Saturday, April 19, 2014

KIINGILIO CHA CHINI YANGA vs SIMBA NI 7,000/-


images_c523e.jpg


944155_584386034916133_328594498_n_4c470.jpg


 
 
              VS
 
 
 
 
Taarifa yetu tuliyotuma hivi punde ilionesha kiingilio cha chini mechi ya Yanga na Simba ni sh. 5,000. Usahihi ni kuwa kiingilio hicho ni sh. 7,000 kama kinavyooneshwa kwenye tiketi.
Boniface Wambura
Ofisa Habari na Mawasiliano

No comments:

Zilizosomwa zaidi