Wagonjwa wakiwa wamepumzika katika mazingira duni sana ndani ya moja ya
zahanati za umma zilizoko maeneo ya vijijini. Wengi wako katika hatari
kubwa kwani uchunguzi wa Mwananchi unaonyesha mfumo mzima wa kitabibu
Tanzania umeoza, huku wagonjwa wakitumbukia katika makucha ya madaktari
na wafamasia feki, wanaotoa vipimo visivyofaa, na dawa zisizokidhi
viwangoSaturday, October 26, 2013
HII NDIO HALI DUNI A AFYA NCHINI.
Wagonjwa wakiwa wamepumzika katika mazingira duni sana ndani ya moja ya
zahanati za umma zilizoko maeneo ya vijijini. Wengi wako katika hatari
kubwa kwani uchunguzi wa Mwananchi unaonyesha mfumo mzima wa kitabibu
Tanzania umeoza, huku wagonjwa wakitumbukia katika makucha ya madaktari
na wafamasia feki, wanaotoa vipimo visivyofaa, na dawa zisizokidhi
viwango
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Msanii maarufu wa Hip...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
1.AUSTIN MORRIS A-40 AUSTIN MORRIS A-40 Gari aina ya Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 ...
-
-
MWENENDO wa Bunge la Bajeti linaloendelea mjini hapa, umebaini kuwa vita ya maneno, fitna kati ya Cha...
No comments:
Post a Comment