Jana
zilisambaa habari kwamba masanja mkandamizaji na msanii Diamond
wamedakwa na polisi na passport zao za kusafiria zimezuiwa....
Taarifa
hizo zimemfanya Masanja afunguke na kudai kwamba habari hizo
si za kweli, ni habari zenye lengo la kumchafulia jina.
Masanja ameenda mbali zaidi na kudai kwamba yeye ni mtumishi wa mungu, yeye ni mjasiliamali na ni mkulima pia.
Mali
alizonazo zinatokana na juhudi zake za kazi. TBC wanamlipa
milioni 5 kwa mwezi.Stoo ana magunia ya mpunga zaidi ya 1000
na kila gunia linauzwa zaidi ya 200,000.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Kutoka kwa Nathani)

No comments:
Post a Comment