Wednesday, January 9, 2013

WATU 8 WAMEUAWA LEO TANA RIVER KENYA

 
Mapigano ya awali katika Tana River pia yalisababisha vifo vya watoto na akina mama
Takriban watu 8 wameuawa na wengine kujeruhiwa katika mapigano
 mapya eneo la Tana River kusini mashariki mwa Kenya. 
Taarifa hizi ni kwa mujibu wa shirika la msalaba mwekundu

No comments:

Zilizosomwa zaidi