WATU wawili wamefariki dunia na
wengine 36 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya Bunda Express lenye namba za usajili T 782 BKZ, likitokea Musoma kuelekea Mwanza kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha
Ngashe kata ya Kahangara wilayani Magu mkoani Mwanza. Ajari hii imetokea wakati mvua kubwa ilikuwa ikinyesha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...
No comments:
Post a Comment