WATU wawili wamefariki dunia na
wengine 36 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya Bunda Express lenye namba za usajili T 782 BKZ, likitokea Musoma kuelekea Mwanza kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha
Ngashe kata ya Kahangara wilayani Magu mkoani Mwanza. Ajari hii imetokea wakati mvua kubwa ilikuwa ikinyesha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Kesi ya mauaji ya marehemu Steven Kanumba inayomkabili mwigizaji wa bongo movie, Elizabeth Michael (Lulu) imeendelea kutajwa...
-
-
Meneja wa wafanyakazi wa Ndani ya Ndege wa Kampuni ya ndege ya Fastjet Emma Donovan, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya ...
-
Msanii maarufu wa Hip...
No comments:
Post a Comment