Wednesday, January 9, 2013

BUNDA BUS YAUA WATUN 2 NA KUJERUHI, MWANZA

Eneo la katikati ya Lugeye na Nyanguge basi la abiria la 'Bunda Express' lenye namba za usajili T 782 BKZ likitokea Musoma kuelekea Mwanza muda wa saa mbili asubuhi jana lilipata ajali mbaya, mazingira yanaonesha kuwa idadi kubwa ya watu wamekutwa na umauti na wengine kuwa majeruhi na mvua kubwa ilikuwa ikinyesha.WATU wawili wamefariki dunia na wengine 36 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya Bunda Express lenye namba za usajili T 782 BKZ, likitokea Musoma kuelekea Mwanza kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Ngashe kata ya Kahangara wilayani Magu mkoani Mwanza.  Ajari hii imetokea wakati mvua kubwa ilikuwa ikinyesha.
 

No comments: