Tuesday, January 8, 2013

HII NDIO STENDI MPYA YA JAMATINI-DODOMA

 Ujienzi wa stendi ya daladala mjini Dodoma katika eneo la
Jamatini unaendelea vyema na kazi ndio imefika hapa.
Wakazi wa Dodoma watarajie kituo bora kabisa cha
 daladala chenye mpangilio mzuri.






No comments:

Zilizosomwa zaidi