MBUNGE wa Ubungo John Mnyika, ametaja majina ya watu 16 ndani ya Shirika
la Umeme Tanzania (Tanesco) ambao amewahusisha na ufisadi ndani ya
shirila hilo la umma.
Kati ya majina hayo ambayo ameyaita kuwa ni ya awamu ya kwanza wamo
baadhi ya waliokuwa watendaji wa shirika hilo ambao wamesimamishwa
kupisha uchunguzi unaofanywa na Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za
Serikali (CAG).
Alipoulizwa wiki iliyopita kuhusu uchunguzi huo, GAG Ludovick Utouh
alisema uchunguzi huo umeshakamilika na kilichokuwa kikisubiriwa ni
kuikabidhi ripoti hiyo kwa bodi ya Tanesco.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi Dar es Salaam, wameendelea kukamatwa na kurejeshwa kwao, ambapo pia imebainika wengi walikuwa wauza k...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wil...
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...
No comments:
Post a Comment