MBUNGE wa Ubungo John Mnyika, ametaja majina ya watu 16 ndani ya Shirika
la Umeme Tanzania (Tanesco) ambao amewahusisha na ufisadi ndani ya
shirila hilo la umma.
Kati ya majina hayo ambayo ameyaita kuwa ni ya awamu ya kwanza wamo
baadhi ya waliokuwa watendaji wa shirika hilo ambao wamesimamishwa
kupisha uchunguzi unaofanywa na Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za
Serikali (CAG).
Alipoulizwa wiki iliyopita kuhusu uchunguzi huo, GAG Ludovick Utouh
alisema uchunguzi huo umeshakamilika na kilichokuwa kikisubiriwa ni
kuikabidhi ripoti hiyo kwa bodi ya Tanesco.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Serikali ya Nigeria inasema kuwa iko tayari kuzingatia mbinu zote zitakazowezesha kuac...
-
Msanii maarufu wa Hip...
-
SONG: STUCK ON YOU Artist: Lionel Richie Stuck on you I've got this feeling down deep in my soul that I just can't lose...
-
HAWA NI WANAFUNZI WA MIPANGO WANAOUNDA TIMU YA VOLLEYBALL HAPA NI KATIKA MAANDALIZI YA AWALI AMBAPO BAADA YA MCHEZO WAMESHINDA SET 4...
-
Hivi ndivyo Mbunge wa jimbo la Nzega mkoani Tabora Dkt Hamis Kiwangala(mwenye shati jeupe) alivyokamatwa wakati wa maandamano ya ...
No comments:
Post a Comment