Sunday, November 18, 2012

TUME YA MABADILIKO YA KATIBA IMETUA ARUSHA.

Jumapili Novemba 18, 2012: Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. John Nkolo (aliyesimama) akijitambulisha kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Magesa Mulongo wakati Wajumbe wa Tume hiyo walipokwenda kujitambulisha kwake  kabla ya tayari ya kuanza kazi ya ukusanyaji wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya katika Mkoa huo. Wajumbe wengine ni Bw. Abubakari Ali, Bw. Ussi Ali na Bi. Mwantumu Malale. 
 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. John Nkolo (aliyesimama) akijitambulisha kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Magesa Mulongo wakati Wajumbe wa Tume hiyo walipokwenda kujitambulisha kwake kabla ya tayari ya kuanza kazi ya ukusanyaji wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya katika Mkoa huo. Wajumbe wengine ni Bw. Abubakari Ali, Bw. Ussi Ali na Bi. Mwantumu Malale.
Photo: Jumapili Novemba 18, 2012: Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mara baada ya wajumbe hao kujitambulisha kwake tayari kuanza kazi ya ukusanyaji wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya mkoani humo. Kutoka kushoto ni Bw. Abubakari Ali, Bw. Ussi Ali, Bi.  Mwantumu Malale (na wa kwanza kulia) Bw. John Nkolo. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mara baada ya wajumbe hao kujitambulisha kwake tayari kuanza kazi ya ukusanyaji wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya mkoani humo. Kutoka kushoto ni Bw. Abubakari Ali, Bw. Ussi Ali, Bi. Mwantumu Malale (na wa kwanza kulia) Bw. John Nkolo.
Photo: Jumapili Novemba 18, 2012: Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bi. Mwantumu Malale akizungumza wakati wajumbe wa Tume hiyo walipokwenda kujitambulisha kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha tayari kuanza kazi ya ukusanyaji wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya mkoani humo. Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Magesa Mulongo. Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bi. Mwantumu Malale akizungumza wakati wajumbe wa Tume hiyo walipokwenda kujitambulisha kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha tayari kuanza kazi ya ukusanyaji wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya mkoani humo. Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Magesa Mulongo.

No comments:

Zilizosomwa zaidi